Uzinduzi wa Transec Lake Victoria Marathon 2023 Mwanza
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Wadau mbalimbali jijini Mwanza wamejitokeza kushuhudia uzinduzi wa mbio ya riadha ya Transec Lake Victoria Marathon inayotarajiwa kufanyika Jumapili Julai 02, 2023 ikilenga kuhamasisha utalii wa ndani, uhifadhi wa Ziwa Victoria pamoja na kusaidia matibabu ya watoto wanaotibiwa saratabi Bigando.
Tazama BMG TV hapa chini
TAZAMA PICHA>>> Uzinduzi wa kishindo 'Transec Lake Victoria Marathon 2023'
No comments: