LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mwenge wa Uhuru watua Mbeya

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Wananchi na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mary Chatanda wameshiriki mbio za Mwenge wa Uhuru ambao umetua katika Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.

Akizungumza katikakesha wa Mwenge huo wilayani Mbarali, Chatanda amewataka wazazi na walezi wa watoto kuzingatia suala la maadili ambalo limekuwa ni changamoto kubwa kwa Taifa.
"Ndugu wazazi wenzangu tuwe makini na vijana wetu kwani hali imekuwa mbaya, dunia imeharibika hivyo tuongeze umakini kwenye suala la malezi" amesema Chatanda.

No comments:

Powered by Blogger.