LIVE STREAM ADS

Header Ads

CHEZEA WEMA SEPETU WEWE??..DADA WA DIAMOND ATIA HURUMA, AWA MPOLE KWA TEAM WEMA. HIKI NDO ALICHOKISEMA.

Kwa sasa Instagram ndio mtandao wa kijamii unaoongoza kwa kutoa habari mbalimbali za wasanii, mabifu na makundi mengi yapo huko. Utakuta mabifu kati ya mtu mmoja na mwingine yakianzia Insta na kuzua mtafaruku mkubwa. Pia Insta kuna Team.  
Mfano wa team kubwa zinazofahamika ni Team Wema Sepetu, Team Diamond, Team Penny nk.
Sasa kuna vijimaneno kua Halima Kimwana ambae ni dada wa hiyari wa Diamond hapatani kabisa na shemeji yetu Wema Sepetu. Kwani inadaiwa kua hata wakikutana hawaongeleshani.  
Wiki hii yote mwanadada Halima Kimwana amekua akishambuliwa na wafuasi wa Wema Sepetu kwa nini anabifu na Wema. Baada ya watu kumlalamikia sana Halima hatimaye dada huyo meamua kufunguka Instagram na kusema haya, Shuka chini
 " Mambooz Instagram...!! Ukiona Mtu Kutwa Upo Mdomoni Mwake Ujue Unamuumiza Sana Kichwaaa..!! 
Mimi Ndo Mimi Hata Iweje Siwezi Kuwa Kama Wewe Mana Yake Naona Mnazid Kutoka Mapovu Ninachoweza Kuwambia Akuna Mtu Yoyote Anaweza Kunibadilisha Msimamo Wangu... Khaaa Nimewachoka Jamani Kutwa Halima Halima Mna Nini...??
Tangu Mlipo Nitukana Kipi Kimepungua Kwanguu...?? Kila Mtu Ana Maamuzi Yake Katika Maisha Why Maamuzi Yangu Yawe Kikwazo Kwenu?? Mimi Ndo Ninaetakiwa Ni Post Au Nimpende Huyo Mnaempenda Nyinyi..? 
Yeye Ana Watu Wangapi Nyuma Yake Mbona Ata Siku Moja Amjawambia WaMpost Au Wampende @diamondplatnumz..?? Mkiniacha Na Maisha Yangu Pia Sio Mbayaaaaaaaaaaaaaaa..."
Diamond, Halima Kimwana na Shetta

No comments:

Powered by Blogger.