KUHADITHIA MIMI HUWA SIWEZI. TAZAMA MWENYEWE SHOW YA USIKU WA MWAFRIKA NDANI YA JB BELMONT HOTEL.
| Wacheza Show wa Osogo Owinyo Wakiwajibika Jukwaani. Hawa watu ni hatari tupu. |
| Wacheza Show wa Saida Kalori wakiwajibika Jukwaani. Ilikuwa balaa tupu. |
| Saida Kalori (Katikati) akiwajibika na wacheza show wake. |
| Wacheza Show wa Saida Kalori wakiwajibika. |
| Mwimbaji Saida Saida Kalori (Katikati) akiwa na Dancers wake wakiwa Jukwanii. Kiukweli walitoa Burudani iliyokidhi haja ya Wapenzi wa burudani. |
| Kulia ni Mwimbaji Osogo Owinyo kutoka nchini Kenya akitumbuiza Jukwaani. |
| Mwimbaji Osogo Owinyo kutoka nchini Kenya akitumbuiza Jukwaani. |
| Dancers wa Saida Kalori wakiwa Jukwaani. |
| Jikoni ilikuwa ni Kiafrika Zaidi. |
| Oxs Okeleky kutoka Radio Metro akifanya kitu roho inapenda. |
| Hii nayo ilikuwepo pia. |
| Misosi ya Kiafrika Ilikuwepo...Naona hapo Kichuri....Senene nk. |
| Oxs Okeleky kutoka Radio Metro (Kulia) akishow Love na Event Cordinator, Manta (Katikati) na Mwalimu wa Kundi la DotCom Chipukizi kutoka Kenya. |
| Mamaa Lonah (Kushoto) & Sefroza Joseph (Kulia) wote kutoka Radio Metro. |
| Taswira ya Ukumbini...Shughuli ilikuwa si Mchezo. |
| Hawa ndio walioingia katika Mchuano wa Kumtafuta alievaa Kiafrika Zaidi. |
| Frank M.Joackim (Mc wa Shughuli) kwa niaba ya Cocacola akimkabidhi zawadi Mshindi wa Pili alievaa Kiafrika. |
| Mwakilishi kutoka K Vant (Kushoto) akimkabidhi zawadi yake mshindi wa tatu ambae alivaa Kiafrika. |
| George Binagi, Mwakilishi kutoka Radio Metro (Kushoto) Akimkabidhi zawadi yake Mshindi wa Nne alievaa Kiafrika. |
| Philemon Tei ambae ni Meneja wa JB Belmont Hotel Jijini Mwanza (Kulia) akiwatambua washindia wa kudance waliodance vizuri ambapo wamepata nafasi ya kupata msosi mtamu katika Hotel hiyo. |
| K Vant nao walikuwa wakihakikisha kuwa kila anaeingia ukumbini anatapata radha ya kinywaji akipendacho. |
| Mapokezi napo kulikuwa na Ukarimu wa Kutosha. |
| Dancers wa DotCom Chipukizi kutoka nchini Kenya, pia walitisha kwa show kali. |
No comments: