Maduka Yamefunguliwa na biashara inaendelea kama kawaida.
Wakati hayo
yakijiri, duru za habari zinazidi kuzagaa kwamba, migomo ya wafanyabiashara
inayoibuka mara kwa mara Jijini Mwanza inahatarija ajira ya Mkurugenzi wa Jiji
hilo Mh.Halifa Hida.
“Hii
Migogoro mnayoibuka nayo nyie wafanyabiashara unajua inahatarisha ajira ya huyu
Mkurugenzi. Kiukweli kama mtaendelea hivi nina wasiwasi na ajira yake maana
itaonekana kama jiji hili limemshinda” Alisikika akiongea mmoja wa wajumbe
waliohudhuria kikao cha wafanyabiashara hao kilichofanyika jana.
|
No comments: