Mbali na
kufahamika zaidi kama mtoto wa Mkulima, Mh.pinda anapendelea zaidi ufugaji wa
Nyuki ambapo hadi sasa anamiliki zaidi ya mizinga 2,000 ya nyuki mbali na
shughuli nyingine za kilimo na ufugaji anazozifanya.
Akizungumza
katika Maonyesho hayo, Mh.Pinda aliwasisitizia zaidi wawekezaji mbalimbali
wanaohitaji kuweka hapa nchini, kufika Kanda ya Ziwa kwa kuwa Kanda ya Ziwa
ndilo eneo pekee lililo bora kwa uwekezaji kwa hivi sasa hapa nchini, kutokana
na fursa nyingi zinazopatikana Kanda ya Ziwa.
|
No comments: