MATUKIO YA KUVUTIA KATIKA PICHA KWENYE MBIO ZA ROCK CITY MARATHON 2014 JIJINI MWANZA.
Watoto wakipokea zawadi baada ya kuibuka washindi. |
Mshindi wa kilomita tatu wazee kwa upande wa akina mama akipokea zawadi yake. |
Andrew Mtaka ambae ni Rais wa Shirikisho la Riadha nchi RT (aliesimama kushoto) akizungumza katika mashindano ya Rock City Marathon 2014 yaliyofanyika jumapili ya Octoba 26 mwaka huu Mkoani Mwanza. |
Hamis Fakii ambae ni Meneja Kiongozi kutoka NSSF Mwanza (kushoto) akizungumza katika kilele cha mashindano ya Rock City Marathon 2014.NSSF walikuwa wadhamni wakuu wa mashindano hayo mwaka huu. |
Mratibu wa Mashindano ya Rock City Marathon Mathew Kasonta akizungumzia mashindano hayo ambao alisema yamelenga kuinua mchezo wa Riadha hapa nchini. |
Kutoka Uwanja wa Mabatini na sasa wamefika Mtaa wa Rufiji kuelekea Uwanja wa CCM Kirumba ambapo hizi ni mbio za kilomita tano. |
Mbio zikiendelea kama kawa.Na hapa Mshiriki kutoka NSSF akionyesha ushiriki wake na hii ikidhihirisha kwamba NSSF hawakushiriki tu katika Udhamni bali hata katika Kukimbiza upepo wako vizuri. |
Ahsante kwa kuitembelea MTANZANIAMEDIA BLOG-Kwa Pamoja, Tuijuze Jamii. |
No comments: