PICHA MATATA ZA BIRTH DAY PARTY YA MSANII NA MTANGAZAJI WA RADIO METRO NATTY E.
Wana Silca Music Studi wakiwa katika Picha ya Pamoja katika Birth Day Party ya Natty E Brandy iliyofanyika jana Face Book Pub. |
Wana Silca Music Studio wakiwa katika tayari kwa ajili ya zoezi la kulishwa Keki katika Birth Day Party ya Natty E Brandy iliyofanyika jana Face Book Pub. |
Meneja wa Silca Music (Kushoto) akilishwa Keki na Natty E ambae ni mmoja wa wasanii wanaofanya kazi katika Studio hiyo. |
Natty E (Kulia) akimlisha Keki mmoja wa Wasanii kutoka Silca Music Studio (Kushoto). |
Natty E akimlisha Keki Producer wa Silca Music ikiwa ni katika Birth Day Party yake iliyofanyika jana Facebook Pub iliyoko Nyamanoro Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza. |
Natty E akimlisha Keki Shabiki wake katika Birth Day Party iliyofanyika Facebook Pub iliyoko Nyamanoro Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza. |
Natty E akimlisha Keki Mmoja wa Wafanyakazi wa Facebook Pub iliyoko Nyamanoro Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza jana katika Birth Day Party yake. |
Natty E akimlisha Keki Shabiki wake katika Birth Day Party iliyofanyika Facebook Pub iliyoko Nyamanoro Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza. |
Natty E (Kushoto) akimlisha Keki Dr.Tonny ambae ni Mtangazaji na Mhariri wa Radio Metro. |
Natty E (Kushoto) akimlisha Keki Mamaa Lonah ambae ni Mtangazaji wa Radio Metro. |
Natty E (Kushoto) akimlisha Keki Mariam Juma ambae ni Mtangazaji wa Radio Metro. |
Natty E (Kushoto) pamoja na Sefroza Joseph (Kulia) ambao ni Watangazaji wa Radio Metro wakilishana Keki ikiwa ni katika Birth day ya Natty E. |
Natty E (Kushoto) akimlisha Keki George Binagi-GB Pazzo (Kulia) ambae ni Mtangazaji wa Radio Metro na MD wa Mtanzaniamedia Blog. |
Natty E (Kushoto) akimlisha Keki Oxs Okeleky (Kulia) ambae ni Producer wa Metro Fm. |
Baadhi ya Wafanyakazi wa Radio Metro wakiwa katika Picha ya Pamoja wakati wa kukata Keki katika Ofisi za Radio Metro. |
Baadhi ya Wafanyakazi wa Radio Metro wakiwa katika Picha ya Pamoja wakati wa kukata Keki katika Ofisi za Radio Metro. |
Sefroza Joseph (Kushoto) akipata kumbukumbu ya Keki ya Birth day ya Natty E ambae ni Msanii na Mtangazaji wa Radio Metro (Kulia). |
Edna Elisha a.k.a Natty E akifurahia Kutimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake Octoba 27. |
Mtanzaniamedia Blog Inakutakia Maisha Marefu na yenye fanaka tele Edna Elisha a.k.a Natty E Brandy.IKIWA UNAPENDA SHUGHULI YAKO ITOKELEZEE KATIKA MTANDAO HUU, PIGA SIMU NAMBARI 0757 43 26 94. |
No comments: