LIVE STREAM ADS

Header Ads

JOKATE:SIJAWAHI ‘BANJUKA’ NA MILLARD AYO!

Stori: Hamida Hassan
MTOTO mzuri mwenye taito kubwa katika anga la mitindo Bongo, Jokate Mwegelo ameuchomolea vilivyo uvumi uliozagaa kuwa
ana uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.
Mtoto mzuri mwenye taito kubwa katika anga la mitindo Bongo, Jokate Mwegelo akipozi kimahaba na mtangazaji Millard Ayo wa Clouds FM.
Uvumi huo ulianzia mitandaoni ambapo mwanahabari wetu alipomtafuta Jokate juzikati, aliweka plain ukaribu wake na Millard ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto mkubwa kwa jamii.
“Millard ni mshkaji, namkubali kutokana na uchapakazi wake, anajua kujituma na ni mpambanaji lakini nje ya hapo hakuna cha zaidi,” alisema Jokate.
CREDIT:GLOBAL PUBLISHERS.

No comments:

Powered by Blogger.