DOREEN LEKEY MWANAFUNZI WA WA CBE ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WATOTO WA MALAIKA KIDS.
Chakula kiliandaliwa na Doreen na Muda wa Kusosi yeye pamoja na Marafiki zake wakasosi pamoja na Watoto waliopo katika Kituo cha Malaika Kids Kinondoni. |
Chakula kikiandaliwa kwa ajili ya kusosiwa. |
Kumbukumbu katika kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magugumu kiitwacho Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam. |
Baadhi ya Watoto wanaolelewa katika Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam. Hahahahahaaaaaa dogo Ujumbe umefika. |
No comments: