LIVE STREAM ADS

Header Ads

DOREEN LEKEY MWANAFUNZI WA WA CBE ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WATOTO WA MALAIKA KIDS.

Katika Kuadhimisha miaka yake kadhaa ya kuzaliwa, Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam mwaka huu 2015 ameshereheka siku hiyo pamoja na Watoto Yatima na Wanaoishi katika Mazingira Magumu kiitwacha Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Shughuli nzima ilifanyika siku ya Jumamosi February 07, 2015 ambapo siku rasmi ya Kuzaliwa kwake ilikuwa ni January 30 Miaka Kadhaa iliyopita.
Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam (Kushoto) akiwa na Marafiki zake katika Kituo cha kulelea Watoto Yatima na wanaoishi katika Mazingira Magumu cha Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Chakula kiliandaliwa na Doreen na Muda wa Kusosi yeye pamoja na Marafiki zake wakasosi pamoja na Watoto waliopo katika Kituo cha Malaika Kids Kinondoni.
Chakula kikiandaliwa kwa ajili ya kusosiwa.
Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam (Mwenye Tshirt nyekundu) akiwa na baadhi ya Watoto Yatima na Wanaoishi katika Mazingira Magumu kiitwacha Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam (Mwenye Tshirt nyekundu) akiwa na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam (Mwenye Tshirt nyekundu) akiwa na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Kumbukumbu katika kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magugumu kiitwacho Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya Watoto wanaolelewa katika Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam. Hahahahahaaaaaa dogo Ujumbe umefika.
Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam (Mwenye Tshirt nyekundu) akilishwa Keki na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam (Mwenye Tshirt nyekundu) akiwa na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Binagi Media Group tunakuombea Kila la Kheri Doreen Lekey ambae ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara CBE Tawi la Dar es salaam (Hayuko pichani.) Pichani ni mmoja wa marafiki wa Doreen akiwa na baadhi ya watoto wanaolelewa katika Malaika Kids kilichopo Kinondoni Jijini Dar es salaam.
Picha na Mdau, Binagi Media Group.

No comments:

Powered by Blogger.