MWALIMU JAPHET MATIKO NA MWALIMU GRACE MAKAMBA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA.
| Misosi ikiendelea Ukumbini. | 
| Misosi time ukumbini. | 
| Misosi. | 
| Hii ilikuwa mapema Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba (Kulia) anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita akiwa na Matron wake Winny Willium (Kulia). | 
| Wakiingia Ukumbini Mjini Musoma Mkoani Mara. | 
| Ndugu, Jamaa na Marafiki upande wa Bwana harusi wakigonga Cheers Kwa Maharusi. | 
| Shampeni Ikifunguliwa. | 
| Bibi Harusi Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba (Katikati) akikata Keki. | 
| Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba akiwakabidhi keki wazazi wake upande wa Bwana Harusi. | 
| Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba akiwakabidhi keki wazazi wake upande wa Bibi Harusi. | 
| Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba akimkabidhi Keki Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Harusi kwa niaba ya Wageni Waalikwa. | 
Wasiliana na Binagi Media Group ili kupata huduma kama hii kwa bei nafuu kabisa kupitia 0757 43 26 94.
No comments: