LIVE STREAM ADS

Header Ads

MWALIMU JAPHET MATIKO NA MWALIMU GRACE MAKAMBA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA.

Mwalimu Japheti Matiko Joseph wa Kenyamanyori Tarime Mkoani Mara ambae anafundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe kutoka Musoma Mkoani Mara Mwalimu Grace Willium Makamba (Kushoto) anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita siku ya Harusi yao katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba (Kushoto) anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita siku ya Harusi yao katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita siku ya Harusi yao wakionyesha mapendo tele katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita siku ya Harusi yao wakionyesha mapendo tele katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba (Kushoto) anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita siku ya Harusi yao katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakifurahia maji ya Ziwa Victoria siku ya ndoa ya Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakifurahia maji ya Ziwa Victoria siku ya ndoa ya Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakifurahia maji ya Ziwa Victoria siku ya ndoa ya Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakifurahia maji ya Ziwa Victoria siku ya ndoa ya Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakifurahia maji ya Ziwa Victoria siku ya ndoa ya Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) akiwa na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita katika Viunga vya Mativila Beach Musoma Mkoani Mara.
Hii ilikuwa mapema kabisa ambapo Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba (Kushoto) anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita alikuwa akitoa huduma ya chakula kwa ndugu, jamaa na marafiki waliofika nyumbani kwao Musoma Mkoani Mara kabla ya shughuli kuhamia Ukumbini.
Bwana Harusi Mtarajiwa  Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kushoto) akiwa na Best Man wake Mwalimu Joseph Binagi (Kulia) wakipata chakula nyumbani kwa Bibi Harusi Mtarajiwa mapema kabla ya kuelekea Ukumbini Mjini Musoma.
Misosi ikiendelea Ukumbini.
Misosi time ukumbini.
Misosi.
Hii ilikuwa mapema Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba (Kulia) anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita akiwa na Matron wake Winny Willium (Kulia).
Wakiingia Ukumbini Mjini Musoma Mkoani Mara.
Ndugu, Jamaa na Marafiki upande wa Bwana harusi wakigonga Cheers Kwa Maharusi.
Shampeni Ikifunguliwa.
Bibi Harusi Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba (Katikati) akikata Keki.
Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba akiwakabidhi keki wazazi wake upande wa Bwana Harusi.
Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba akiwakabidhi keki wazazi wake upande wa Bibi Harusi.
Bibi Harusi Mwalimu Grace Willium Makamba akimkabidhi Keki Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Harusi kwa niaba ya Wageni Waalikwa.
Maharusi Mwalimu Japheti Matiko Joseph anaefundisha Shule ya Msingi Nyampa iliyopo Halmshauri ya Mji wa Geita Mkoani Geita (Kulia) pamoja na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba (Kushoto) anaefundisha Shule ya Msingi Bujulula iliyopo Wilaya ya Geita Mkoani Geita wakiingia Ukumbini Mjini Musoma Mkoani Mara.
Maharusi Mwalimu Japheti Matiko Joseph ((Wa pili Kushoto) pamoja na Mkewe Mwalimu Grace Willium Makamba (Wa pili Kulia) wakiwa pamoja na Best man Mwalimu Joseph Binagi (Wa kwanza Kushoto) pamoja na Matron Winny Willium (Wa kwanza Kulia).
Na: George Binagi-GB Pazzo
Wasiliana na Binagi Media Group ili kupata huduma kama hii kwa bei nafuu kabisa kupitia 0757 43 26 94.

No comments:

Powered by Blogger.