Picha ikimuonyesha Rais wa Zimbabwe Mh.Robert Mugabe akila mweleka wakati akishuka katika ngazi mara tu baada ya kuwasili kutoka Ethiopia siku ya jumatano. Raisi Wa Zimbabwe aliwasili nchini humo na kutoa hotuba kwa wananchi waliofika
kumpokea. Baada ya kuhutubia raisi huyo ambaye
anafikisha miaka 91 tarehe 21
mwezi huu wa pili (Februari) alianguka wakati akishuka katika ngazi kama ambavyo picha
zinaonekana.
Picha Juu inaonyesha Rais Mugabe akijikwaa.
Akiwa Ethiopia, Mugabe amechaguliwa
kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU).
|
No comments: