WAFANYABIASHARA MWANZA WAFUNGA MADUKA BAADA YA MWENYEKITI WAO KUPANDISHWA KIZIMBANI.
Miongoni mwa Maduka yaliyofungwa hii leo Jijini Mwanza kutokana na Mgomo wa Kushinikiza Mwenyekiti wa Jumuiya Wafanyabiashara nchini Johnsoni Minja kufutiwa kesi yake.
|
Mwenyekiti wa wafanyabiashara Tanzania Johnson Minja
|
No comments: