UCHAMBUZI: MAKOCHA WANNE WANAOTISHA HIVI SASA UEFA.
Genya Richard ambae ni Mchambuzi wa Michezo Radio Metro na Binagi Media Group.
Na: Genya Richard
Ni makocha wanne tu ambao walikuwa wachezaji katika kikosi cha timu yaBarcelona
mwaka 1996 wametisha baada ya timu zao kuingia hatua ya robo final ya Ligi ya mabingwa. Na wakati makocha hao
wakiwa wachezaji kocha wao alikuwa ni Bobby Robbson raia wa Uingereza kwa sasa
ni marehem na msaidiz wake alikuwa ni Jose Mourinho.
Ni makocha wanne tu ambao walikuwa wachezaji katika kikosi cha timu ya
Makocha hao ni
1.JULLEN LEPETEGU; Kwa sasa ni kocha wa klab ya FC PORTO na leo hii timu yake itapambana na timya Buyern Munich pambano ambalo likuwa na mvuto wake na lolote linaweza kutokea mana wawili wanafahamiana vizuri ikiwa walisha kucheza pamoja,japo wengi waipa nafas buyern lakin porto ya sasa si ya mchezo ni porto iliyowahi kuchukua ubingwa ikiwa na JoseMourinho ikiwa na wakali kama McCarthy raia wa Afrika Kusin huo ulikuwa mwaka 2004-2005 ambapo porto iliweka rekod ya kuchukua ubingwa toka ilivyofanya mwaka 1993
1.JULLEN LEPETEGU; Kwa sasa ni kocha wa klab ya FC PORTO na leo hii timu yake itapambana na timya Buyern Munich pambano ambalo likuwa na mvuto wake na lolote linaweza kutokea mana wawili wanafahamiana vizuri ikiwa walisha kucheza pamoja,japo wengi waipa nafas buyern lakin porto ya sasa si ya mchezo ni porto iliyowahi kuchukua ubingwa ikiwa na JoseMourinho ikiwa na wakali kama McCarthy raia wa Afrika Kusin huo ulikuwa mwaka 2004-2005 ambapo porto iliweka rekod ya kuchukua ubingwa toka ilivyofanya mwaka 1993
2. PEP GUARDIOLA; Kwa sasa nikocha wa klab ya Buyern Munich
ambaye leo timu yake itashuka uwanjan kumenyana na timu fc Puorto ni pambano ambalo
litakuwa ni la kukata na shoka kutokana na ubora wa vikosivya timu zote mbili
3.LUIS ENRINQUE;Kwa sasa ni kocha wa tim ya Barcelona na kwa
siku ya leo timu yake itakuwa na kibarua dhidi ya timu ya PSG ambapo wawilI hao
wajuana vizuri tangu enzi wakiwa wachezaji watimu ya Barcelona leo tena
wanakutana ikiwa walikuwa wote kwenye hatua ya makundi.
4.LAURENT
BLANC;Kwasasa ni kocha watimu ya PSG ambapo leo hii timu yake itakuwa uwanjani kucheza na Barcelona, ukiangalia kwa
umakin mechi za leo zitakuwa na mvuto wa aina yake kutokana na makocha wote
kufahamiana vizuri.
Na hao ndio makocha wanne wanaotisha Club Bingwa Barani Ulaya UEFA ambao ni zao la
Barcelona...Jiunge nasi wakati mwingine kwa uchambuzi zaidi wa Kimichezo.BINAGI MEDIA GROUP PRODUCTION
No comments: