LIVE STREAM ADS

Header Ads

YANGA NA HISTORIA YA MICHEZO YA KIMATAIFA TANGU MWAKA 1982 HADI MWAKA HUU.

Kikosi cha Kwanza cha Timu ya Yanga cha Msimu wa Mwaka 2014/15
Na:genyarichard@gmail.com
Timu ya Yanga ambayo juzi jumamosi ilicheza na Timu ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika na kutoka sare ya bao 1-1 ina historia yake tangu mwaka 1982 katika michuano mbalimbali ya Kimataifa.

Chini ya kocha Mholanzi Hanavan der Pluijm, Yanga mwaka jana ilivunja mwiko wa kutozifunga timu za Kaskazin mwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Al Ahly ya Misiri.

Hata hivyo katika mchezo wa marudiano mjini Alexandrie wenyeji waliibuka na ushindi wa goli 1-0 na kuhamia kwenye dakika za nyongeza na baadaye yanga ikatolewa kwa penati 4-3.

IFUATAYO NI REKODI YA YANGA DHIDI YA TIMU ZA KASKAZINI MWA AFRIKA

Ligi ya mabingwa Afrika mwaka 1982

RAUNDI YA PILI
Al-Ahly 5-0 Yanga [Misri]
Yanga 1-1 Al-Ahly [Dar]

Ligi ya mabingwa mwaka 1988
Raundi ya kwanza
Yanga 0-0 Al-Ahly [Dra]
Al-Ahly 4-0 [Misri]

Ligi ya mabingwa mwaka 1992

Raundi ya kwanza
Yanga 0-2 Ismailia[Dar]
Ismaili 1-1 Yanga [Misri]

LIGI YA MABINGWA MWAKA 1998
Mechi za kundi B
Raja Casablanca 6-0 Yanga [Morocco]
Yanga 3-3 Raja Casablanca [Dar]

LIGI YA MABINGWA MWAKA 2007
Raundi ya pili
Esperance 3-0 Yanga [Tunisia]
Yanga 0-0 Esperance [Dar]

Mpenzi mwanamichezo usikose kufuatilia Historia hii siku ya kesho jumanne kupitia mtandao huu, karibu sana...

No comments:

Powered by Blogger.