LIVE STREAM ADS

Header Ads

TCRA IKO MACHO. WALIOTIWA MBARONI KWA UTAPELI WA MTANDAONI WAPANDISHWA KIZIMBANI.

Mwanasheria Mwandamizi Mkuu, Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA Johanes Kalungula akiongea na wanahabari nje ya mahakama ambapo amewasihi wananchi kuwa makini ili kupuka utapeli wa mitandaoni kwani watuhumiwa hao walikuwa wakituma msg za kuomba pesa kupitia laini za simu walizosajili kwa majina ya kughushi. 
Na:George Binagi-GB Pazzo
Jana Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA iliwapandisha kizimbani watu watatu katika Mahakama ya hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, kwa tuhuma za kughushi nyaraka na kusajili laini za simu na kufungua akaunti za benki kwa majina ya vyama vya siasa vya CCM na CHADEMA na kuzitumia kuomba pesa kwa wafanyabiashara kwa minajiri ya kusaidia katika zoezi la kampeni za uchaguzi mkuu uliomalizika hivi karibuni. 
BONYEZA PLA HAPA CHINI KUSIKILIZA  Tazama HAPA Watuhumiwa wakiwa Mahakamani

No comments:

Powered by Blogger.