KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA ALIVYOHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI MONDULI MKOANI ARUSHA.
Baada
ya kuwasili katika Wilaya Ya Monduli Mkoani Arusha, Kaimu katibu mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (wa tatu kulia) alianza kufanya shughuli za kijamii kwa kupanda mpunga katika Mashamba ya
UHANDENI Wilayani humo.
Hiyo ilikuwa miongoni mwa shughuli za kijamii alizoshiriki katika ziara yake ya kikazi ya siku tano iliyohitimishwa juzi aliyoifanya katika Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha. Mbali na shughuli hizo, pia alihutubia katika mkutano wa hadhara.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Akinawa
baada ya kutoka shambani
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka H Shaka akizungumza na viongozi wa chama na
Jumuiya mara baada ya kutoka Shambani.
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka H Shaka alipanda mti katika ofisi ya ccm kata ya Selela
kama Kumbukumbu
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka H Shaka alipokelewa na wananchi wa kijiji cha
Serela kwa shwange na nderemo.
Katika
Mkutano wa hadhara, wazee wa kijiji cha serela walimzindika kama ishara ya kumpokea
katika kijiji hicho.
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (kushoto) akimsimika Ukamanda, Peter john Bega katika
mkutano huo.
Mwenyekiti
wa mkoa wa Arusha Lengai Ole Sabaya akisalimia wananchi wake na kumkaribisha Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka H Shaka kuzungumza katika
Mkutano wa hadhara
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akihutubia wananchi wa kijiji cha Serela
Wilayani Monduli katika mkutano wa hadhara
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akihutubia wananchi wa kijiji cha Serela Wilayani Monduli katika mkutano wa hadhara
Kwa umakini, Kumsikiliza Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka, akiwaaga wananchi wa Monduli Mkoani Arusha na kuelekea Mkoa wa
Manyara kuanza ziara nyingine ya Kikazi.
Picha na Fahad Siraji.
No comments: