LIVE STREAM ADS

Header Ads

Kampuni ya Tigo yasherehekea wiki ya huduma kwa mteja pamoja na wateja wake Jijini Dar es salaam.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

 Meneja wa Mifumo ya Kibiashara na Mawasiliano wa Tigo Halima Kasoro (kulia)akizungumza na wateja walioalikwa katika chakula cha usiku katika hotel ya Double Tree jijini Dar es Salaam, kushoto kwake ni Meneja wa Ubora wa huduma kwa Wateja Tigo, Mwangaza Matotola na meneja huduma kwa wateja Charles Gardner.
Na Krantz Mwantepele
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini George Lugata, akipunga mkno kuwasalimu wateja wa Tigo walioalikwa chakula cha jioni katika kusherehekea wiki ya huduma kwa wateja.
Msanii Elias Barnabas (Barnaba) akiburudisha kwa kuimba na kucheza pamoja na wageni waalikwa.
Wateja wa Tigo wakisikiliza kwa makini.
Meneja Rasilmali watu wa Kampuni ya Tigo, Catherine Olaka akimpongeza mwangalizi wa duka la Manzese Glory kwa kupata zawadi ya mfanyakazi bora
Meneja wa Ubora wa huduma kwa Wateja Tigo, Mwangaza Matotola akiwaongoza wateja kupata chakula cha jioni.

No comments:

Powered by Blogger.