LIVE STREAM ADS

Header Ads

Manispaa ya Iringa yapigwa tafu na kampuni ya mawasiliano Tigo.

Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com

Mkuu wa wilaya ya Iringa, Richard Kasesela akipokea madawati 85 kwa manispaa ya wilaya ya Iringa toka kwa Meneja wa Mauzo wa TIGO mkoa wa Iringa, Samwel Chamai kwenye hafla iliyofanyika ofisi za wilaya juzi.
Na Krantz Mwantepele
Mkuu wa wilaya ya Iringa, Richard Kasesela akiwa katika picha ya pamoja na meneja wa  mauzo ya tigo  mkoa wa iringa  Samwel Chamai na wanafunzi wa manispaa ya Iringa.
Wanafunzi wa shule za Manispaa ya Iringa wakishuhuhudaia makabidhiano ya madawati 85 toka kwa kamppuni ya simu Tigo.

No comments:

Powered by Blogger.