Ziara ya Rais Magufuli Mwanza, Mbunge wa CUF apongezwa
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Na Binagi Media Group
Rais Dkt.John Pombe Magufuli amempongeza mbunge wa jimbo la
Liwale mkoani Lindi, Zubery Chauka (CUF), kwa uwazi na uchapakazi wake.
Aidha atoa pongezi kwa chama cha CUF kwa mabadiliko kinayoyafanya
ndani ya chama, mabadiliko ambayo pia yamekuwa yakifanywa ndani ya CCM.
Rais Magufuli ametoa pongezi hizo wakati akizindua daraja la
Furahisha Jijini Mwanza hii leo baada ya hapo awali mbunge Chauka ambaye pia ni
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kutoa pongezi kwa Rais
Magufuli na serikali yake kwa namna inavyowatumikia wananchi kwa vitendo.
Bonyeza HAPA kutazama picha
No comments: