DC Nyimbi aguswa na kiwango cha elimu wilayani Nyamagana
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
SOMA Serikali yatatua adha ya usafiri kwa Maafisa Elimu Mwanza
Mkuu wa Wilaya Nyamagana mkoani Mwanza Mhe. Dkt. Philis Nyimbi akiwasilisha salamu zake kwenye hafla ya kukabidhi pikipiki 18 kwa Maafisa Elimu Kata Jijini Mwanza (Nyamagana) iliyofanyika hii leo Septemba 10, 2018 ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhe. John Mongella.
Baadhi ya waalimu Jijini Mwanza wakifuatilia hafla ya kukabidhi pikipiki kwa Maafisa Elimu Kata
Tazama BMG Online Tv hapa chini
SOMA Serikali yatatua adha ya usafiri kwa Maafisa Elimu Mwanza
No comments: