LIVE STREAM ADS

Header Ads

Waziri wa Madini aibana GGM, atoa siku 30 za mwisho

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Waziri wa Madini Mhe. Anjellah Kairuki ametoa siku 30 za mwisho kwa mgodi wa GGM kuhakikisha unawalipa fidia wakazi wa mitaa ya Katoma na Nyamalengo mkoani Geita ambao nyumba zao takribani 800 zimepata nyufa kutokana na milipuko ya mgodi huo.

Mhe. Kairuki ametoa kauli hiyo jana Septemba 30, 2018 wakati akizungumza kwenye kilele cha Maonesho ya Teknolojia ya Uzalishaji Dhahabu kwa Maendeleo ya Kijamii na Uchumi wa Viwanda mkoani Geita.
Waziri wa Madini Mhe. Anjellah Kairuki (kulia), akiteta jambo na Naibu Waziri wa wizara hiyo Mhe. Mwl. Doto Biteko (kushoto).
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Viwanda nchini TANTRADE, Edwin Rutageruka (kulia), Mwenyekiti wa shirikisho la vyama vya wachimbaji madini FEMATA, John Bina (katikati) pamoja na Mwenyekiti wa CCM Geita wakifuatilia maonesho hayo.
Mgeni rasmi, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Tazama hapa chini BMG Online Tv

SOMA>>>Waziri Mkuu afunga Maonesho ya Teknolojia ya Dhahabu Geita

No comments:

Powered by Blogger.