Kizaazaa watuhumiwa waliouawa mkoani Mwanza
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Usiku wa kuamkia jumamosi Januari 26, 2019, jeshi la polisi mkoani Mwanza limewaua watuhumia wanane wa uhalifu wilayani Ukerewe huku mamia ya wananchi walijitokeza katika Hospitali ya wilaya hiyo kutambua miili ya watuhumiwa hao. Ungana na BMG Online TV kwa habari zaidi.
No comments: