LIVE: Mkutano Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa Mwanza (MZFA)
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Matangazo
#Mubashara kupitia BMG Online TV #PamojaDaimaBMG kutoka Gold Crest Hotel Jijini
Mwanza, hii leo Januari 26, 2019. Pamoja na
mambo mengine, mkutano huu unajadili taarifa ya utekelezaji/ utendaji ya
wanachama, kuthibitisha taarifa ya fedha, kuteua wakaguzi wa nje wa mahesabu,
kupitisha bajeti ya MZFA ya mwaka 2019, mapendekezo kutoka kwa wanachama/
kamati tendaji, kujaza nafasi zilizoachwa wazi, hotuba ya Mwenyekiti MZFA na
mengineyo.
Tazam BMG Online TV #Mubashara hapa chini
#PamojaDaimaBMG
No comments: