Waliofuata nyayo za Edward Lowasa wakila kiapo ndani ya CCM
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Katibu wa
CCM Wilaya Bukombe mkoani Geita, Ladislaus Soku akiwaapisha kiapo cha uaminifu
wanachama wapya wa chama hicho waliochomoka kutoka Chadema.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: