Rais Magufuli atekeleza ahadi yake kwa wakazi wa Sengerema
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkataba huo
wa zaidi ya shilingi bilioni moja umesainiwa Mei 09, 2019 baina ya Serikali
kupitia Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mkoani Mwanza (MWAUWASA) pamoja na
mkandarasi kampuni ya HALEM ya jijini Dar es salaam mbele ya Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkurugenzi wa MWAUWASA, Mhandisi Antony Sanga (kulia) pamoja na Mkurugenzi wa kampuni ya HALEM, Mhandisi Happy Lebe wakikabidhiana mkataba wa utekelezaji wa mradi wa maji Nyampande wilayani Sengerema baada ya pande zote mbili kuusaini.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: