LIVE STREAM ADS

Header Ads

Serikali ya Tanzania yapongezwa kulinda haki za wenye ualibino

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mkurugenzi wa taasisi inayotetea haki za watu wenye ualibino ya “Josephat Torner Foundation Europe”, Josepaht Torner akitoa pongezi wa Serikali ya Tanzania kwa kusimama imara kulinda haki za wenye ualibino.

Ni katika kuelekea kwenye maadhimisho ya siku ya kimataifa ya uelewa kuhusu ualibino yatakayofanyika Alhamisi Juni 13, 2019 (maadhimisho haya hufanyika kila mwaka Juni 13) ambapo kitaifa mwaka huu 2019 yatafanyika mkoani Morogoro.
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.