LIVE STREAM ADS

Header Ads

Tanzania yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ualibino

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Tanzania leo Juni 13, 2019 inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya uelewa kuhusu ualibino ambapo kitaifa maadhimisho hayo yanafanyika mkoani Morogoro.

Maadhimisho hayo yanafanyika wakati Serikali ya Tanzania ikizidi kupongezwa kwa hatua kabambe ilizochukua katika kupambana na vitendo vya ukatili kwa watu wenye ualibino na kuwa kuwa eneo ambalo mataifa mengine Afrika yanakuja kujifunza.
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.