RC Mwanza asisitiza uanzishwaji Vituo vya Mawasiliano ya Wajasiriamali
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella amewataka Wakuu wa Wilaza za Mkoa huo kusimamia vyema
uanzishwaji wa Vituo vya Mawasiliano (One Stop Centres) katika Halmashauri zote
ili kuwasaidia wajasiriamali hao kupata utatuzi wa changamoto zinazowakabili.
Mongella
aliyasema hayo jana Juni 17, 2019 wakati akihitimisha kikao cha Baraza la
Biashara Mkoa Mwanza na kutumia fursa hiyo pia kuelekeza mambo muhimu ya
kutekeleza kutokana na kikao hicho.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: