Zuio la mikutano ya hadhara laibuka tena
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Zuio la
mikutano ya hadhara hapa nchini limeibuka tena kwenye mkutano baina ya Tume ya
Taifa ya Uchaguzi (NEC) na wadau wa uchaguzi Mkoa Mwanza uliofanyika leo Agosti
02, 2019 ukiwa na dhima ya kupeana elimu kuhusu zoezi la uboreshaji daftari la
kudumu la wapiga kura.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: