LIVE STREAM ADS

Header Ads

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Misungwi yatembelea mgodi wa Busolwa

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Ziara ya Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango katika Halmashauri ya Wilaya Misungwi mkoani Mwanza iliyofanyika Novemba 31, 2019 katika mgodi wa dhahabu “Busolwa Mining Limited” ambao unatarajiwa kuanza rasmi uzalishaji mwaka 2020.
#BMGHabari
 Wajumbe wa Kamati hiyo wakikagua maeneo mbalimbali ya mgodi wa Busolwa wilayani Misungwi.
 Meneja wa Mgodi wa Busolwa wilayani Misungwi, John Jackson akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango katika Halmashauri ya Wilaya Misungwi waliotembelea mgodi huo.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.