LIVE STREAM ADS

Header Ads

Tuzo ya Mwanza Quality Wines yapata Baraka za viongozi wa Serikali

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella ameipongeza kampuni ya Mwanza Quality Wines inayozalisha mvinyo wa matunda jamii ya Power Banana kwa kuibuka mshindi wa jumla wa tuzo za kampuni 100 bora za kati (Top 100 Awards) mwaka 2019/20.

Ni baada ya tuzo hiyo inazotolewa chini ya uratibu wa kampuni ya ukaguzi wa hesabu za fedha KPMG kwa kushirikiana na Mwananchi Communications Limited (MCL) kupokelewa katika uwanja wa ndege wa Mwanza Novemba 01, 2019 ikitokea jijini Dar es salaam na kufikishwa mbele ya wajumbe wa kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa Mwanza (RCC).
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.