LIVE STREAM ADS

Header Ads

CCM Mwanza wamkingia kifua diwani wa mfano “asibugudhiwe”

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Baada ya diwani wa Kata ya Mhandu jijini Mwanza, Sima Constantine Sima kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kipindi cha Januari 2018 hadi Januari 2020, Katibu wa chama hicho Wilaya Nyamagana amemtaja kama diwani wa mfano na kutaka asibugudhiwe katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu 2020.
#BMGHabari
 Katibu wa CCM Wilaya Nyamagana, Geofrey Gabenga akizungumza kwenye mkutano mkuu maalum wa chama hicho Kata ya Mhandu jijini Mwanza.
 Diwani wa Kata ya Mhandu jijini Mwanza, Sima Constantine Sima akizungumza kwenye mkutano huo.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.