GEITA “CCM Bukombe wanajenga ukumbi wa kisasa”
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mwonekano wa msingi kwa ajili ya ujenzi wa jengo la ukumbi wa kisasa unaojengwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Bukombe mkoani Geita.
Mwenyekiti
wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya Bukombe mkoani Geita, Daniel Machongo akiwa
ameambatana na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Siasa akitoa maelezo kwa mbunge
wa Jimbo la Bukombe Doto Biteko ambaye pia ni Waziri wa Madini kuhusiana na
ujenzi wa jengo la ukumbi wa kisasa linalojengwa na chama hicho.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya Bukombe wakiwa kwenye eneo la ujenzi wa jengo la ukumbi.
Kamati ya Siasa Wilaya Bukombe ikiwa kwenye kikao cha kuimarisha uhai wa chama na jumuiya zake.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi kutoka Bukombe
No comments: