Huwezi kujifunza kurusha ndege kwenye Chuo kisicho na uwanja- KIVULINI
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkurugenzi
Mtendaji wa shirika la kutetea haki za wanawake na wasichana KIVULINI, Yassin
Ally akizungumza kando ya Kongamano la Wadau Kanda ya Ziwa kujadili namna ya
kutekeleza dhana ya Uanagenzi yenge lengo la kukuza ujuzi kwa wahitimu wa vyuo
vya Maendeleo ya Jamii na Ufundi Tanzania lililofanyika Februari 24, 2020
jijini Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: