Wavuvi haramu watangaziwa noma Ukerewe “wamo wahamiaji”
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella afanya ziara katika Visiwa vidogo 38 vya Wilaya Ukerewe
ambayo pia ni Kisiwa kikubwa katika Ziwa Victoria.
#BMGHabari
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella amewataka wananchi wilayani Ukerewe kutoa taarifa wanapoona watu wanaojihusisha na uvuvi haramu pamoja na wahamiaji haramu kutoka nchi jirani wanaofanya shughuli za uvuvi katika Wilaya hiyo.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari kutoka Ukerewe
No comments: