Jaji aonya ucheleweshwaji wa mashauri
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Jaji
Rumanyika aliyasema hayo Februari 06, 2020 jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye
kilele cha Wiki ya Sheria nchini iliyofanyika ngazi ya Mkoa Mwanza katika
viunga vya Mahakama hiyo.
Naye Mkuu wa
Mkoa Mwanza, John Mongella alisema mchango wa Mahakama katika kuchochea utulimu
na amani umesaidia ukuaji wa ongezeko la pato la Mkoa Mwanza kutoka Tirioni
10.05 mwaka 2016 hadi Tirioni 12.6 mwaka 2018 na kuufanya Mkoa kushika nafasi
ya pili baada ya Dar es salaam.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akitoa salamu zake kwenye maadhimisho hayo.
Wanahabari wakinasa matukio kwenye maadhimisho hayo.
Viongozi mbalimbali wa Serikali na Mahakama wakifuatilia maadhimisho hayo.
Viongozi mbalimbali wa Serikali na Mahakama wakifuatilia maadhimisho hayo.
Baadhi ya Mawakili wa Serikali na Binafsi wakifuatilia maadhimisho hayo.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari kuhusu Sheria
PIA SOMA>>> Habari kuhusiana na Mahakama
No comments: