Daraja la Mto Simiyu lafungwa kupisha matengenezo
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Serikali
imesitisha matumizi ya daraja la Mto Simiyu lililopo Wilaya ya Magu mkoani
Mwanza kwa muda wa siku 10 kuanzia Jumapili Machi 08, 2020 ili kupisha
matengenezo ya daraja hilo ambalo limeundwa kwa vyuma.
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella amesema katika kipindi hicho cha siku 10, matumizi ya
daraja hilo linalounganisha mikoa ya Mwanza, Simiyu, Mara na nchi jirani ya
Kenya yatakuwa yanasitishwa kuanzia majira ya saa tatu kamili usiku hadi saa
kumi na moja alfajiri.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: