Kemikali iliyokamatwa Mwanza kutengeneza vitakasa mikono
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella amekabidhiwa lita 92,600 za kemikali bashirifu
zilizotaifishwa na Mahakama baada ya kukamatwa bila vibali zikiingizwa nchini
kwa ajili ya kutengenezea pombe kali.
Mongella
amepokea kemikali hiyo Jumatatu Aprili 20, 2020 na kueleza kwamba itatumika kwa
ajili ya kutengenezea vitakasa mikono (Sanitizer) ambazo zitauzwa kwa gharama
nafuu ili kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona (Covid-
19).
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari kuhusiana na Corona
No comments: