TAKUKURU Mkoa Mwanza yaokoa mamilioni ya fedha
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa Mwanza imefanikiwa kuokoa fedha
kiasi cha shilingi milioni 25 (Tsh. 25,055,200) pamoja na kudhibiti upotevu wa
kiasi kingine cha shilingi milioni 111 (Tsh. 111,659,045) katika kipindi cha
mwezi Januari hadi Machi 2020.
Naibu Mkuu
wa TAKUKURU Mkoa Mwanza, Daud Ndyamukama amebainisha hayo Jumanne Aprili 21,
2020 wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo katika kipindi cha
kuanzia Januari hadi Machi 2020.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa Mwanza, Daud Ndyamukama akitoa taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Machi 2020.
Watumishi mbalimbali wa TAKUKURU Mkoa Mwanza wakifuatilia taarifa hiyo.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: