LIVE STREAM ADS

Header Ads

Shehena ya sukari yawasili Mwanza “Waziri atinga kwa wajasiriamali”

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amewatoa hofu wananchi kuhusu suala la upungufu wa sukari kwa kuwa bidhaa hiyo ipo ya kutosha baada ya kuanza kuwasili kutoka nje ya nchi.

Waziri Bashungwa aliyasema hayo Mei 14, 2020 akiwa jijini Mwanza akishuhudia upakuaji wa shehena ya sukari iliyowasili kutoka nchini Uganda kupitia bandari ya Mwanza Kusini.
#BMGHabari
 Shehena ya sukari iliyoagizwa na kampuni ya VH. Shah kutoka Uganda ikipakuliwa katika bandari ya Mwanza Kusini.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.