LIVE STREAM ADS

Header Ads

RC Mara awaonya wababe wanaopiga watu Buhemba

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mkuu wa Mkoa Mara, Adam Malima amewaonya baadhi ya wachimbaji dhahabu katika mgodi wa Irasanilo uliopo Buhemba wilayani Butiamba na kuwataka kuacha tabia ya kujiita wababe na kuwapiga wenzao.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.