LIVE STREAM ADS

Header Ads

Baba matatani kwa tuhuma za kumuua mwanae

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Jeshi la Polisi Mkoa Mwanza linamshikilia Antony Lyaya (38) mkazi wa Kisesa Wilaya Magu mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumpiga na kumsababishia kifo mtoto wake aitwaye Agness Lyaya (08) aliyekuwa akisoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Bujora.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.