LIVE STREAM ADS

Header Ads

CRDB Marathon itaokoa maisha ya watoto- DC Nyamagana

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Wilaya Nyamagana, Dkt. Philis Nyimbi Agosti 16, 2020 amemwakilisha Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella kwenye kilele cha mbio za CRDB Marathon 2020 zilizolenga kukusanya fedha kwa ajili ya matibabu ya watoto wenye matatizo ya moyo.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.