LIVE STREAM ADS

Header Ads

LIPUMBA- miaka mitano vyuma vimekaza, mkiwapa mingine vitatumaliza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipuma amewasihi wananchi mkoani Mwanza kumpigia kura Oktoba 28, 2020 kwenye Uchaguzi Mkuu ili apate ridhaa ya kuwa Rais na kuondoa malalamiko ya ugumu wa maisha “vyuma kukaza”.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.