Majanga ya moto “Central Buhongwa wachukua tahadhari”
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Kutokana na majanga ya moto kuzikumba baadhi ya Shule hapa nchini, uongozi wa shule ya Sekondari Central Buhongwa iliyopo jijini Mwanza umechukua tahadhari ili kukabiliana na majanga hayo.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
SOMA>>> Matukio mbalimbali ya moto
No comments: