LIVE STREAM ADS

Header Ads

BITEKO amaliza kazi Simiyu, akataa makofi “acha tufanye kazi ya Bwana Mkubwa”

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Waziri wa Madini, Doto Biteko Disemba 19, 2020 amefika katika machimbo mapya ya dhahabu Lubaga yaliyopo mpakani mwa wilaya za Bariadi na Busega mkoani Simiyu na kutoa maamuzi stahiki ya kuzingatiwa ili kumaliza mvutano uliokuwa umeibuka ukihusisha mgawanyo wa mali baina ya wenye leseni, mashamba pamoja na wachimbaji.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Waziri wa Madini, Doto Biteko akiwasikiliza wachimbaji wadogo wa dhahabu alipotembelea machimbo ya Lubaga mkoani Simiyu.
Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika machimbo ya Lubaga mkoani Simiyu.
Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika machimbo ya Lubaga mkoani Simiyu.
Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika machimbo ya Lubaga mkoani Simiyu.
Viongozi mbalimbali wa Serikali na wachimbaji madini.
Mbunge wa Viti Maalum mkoani Simiyu akitoa salamu kwa wachimbaji wadogo wa dhahabu.
Mkuu wa Mkoa Simiyu, Antony Mtaka aliahidi kusimamia uamuzi uliotolewa na Waziri Biteko ili kuonda mvutano uliokuwepo hapo awali kwenye machimbo ya Lubaga.
Waziri wa Mdini, Doto Biteko (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula (kulia).
Waziri wa Madini, Doto Biteko (kulia) akitena jambo na Mkuu wa Wilaya Busega, Tano Mwera (kushoto).
Tazama BMG TV haoa chini

No comments:

Powered by Blogger.