Mhandisi Migodi STAMICO aibuka mfanyakazi bora 2021
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mhandisi
Migodi kutoka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Peter Maha ameibuka
mfanyakazi bora na kujinyakulia kitita cha shilingi milioni moja kwenye maadhimisho ya
siku ya wafanyakazi duniani Mei Mosi 2021 yaliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM
Kirumba Wilaya Ilemela mkoani Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Maadhimisho ya Mei Mosi 2021
No comments: