GUMZO!!! Watanzania wanavyomkumbuka Hayati Magufuli
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Online Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Machi 17, 2022 aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano wa Tanzania, Hayati Dkt.John Pombe Magufuli anatimiza mwaka mmoja tangu afariki. Kuelekea kumbukizi hiyo, watanzania hususani wilayani Chato alikozaliwa Hayati Magufuli wamekuwa na maoni mseto.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi hapa
No comments: