LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mwanza waadhimisha kwa kishindo Siku ya Wanawake Duniani

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Online Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Matukio mbalimbali katika picha: Maandamano ya wadau mbalimbali kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani 2022 ngazi ya Mkoa Mwanza yaliyoadhimishwa kwa kishindo katika uwanja wa Nyamagana, Machi 08, 2022 

Shirika la kutetea haki za wanawake na wasichana KIVULINI ni miongoni mwa wadau muhimu walioungana na wanawake mkoani Mwanza kusherehekea Maadhimisho hayo ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel aliyewakilishwa na Katibu Tawala Mkoa Mwanza, Ngusa Samike.
Maandamano ya wadau wakiingia katika uwanja wa Nyamagana.
Mkurugenzi Mtendaji Shirika la KIVULINI, Yassin Ally akiongoza hamasa kwenye maandamano hayo.
Viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya Nyamagana, Amina Makilagi (katikati) wakiwa kwenye maadhimisho hayo.

No comments:

Powered by Blogger.